CCM LEADERS

CCM


I made this at .

Friday 27 August 2010

Mama Salma Kikwete Akiwa Wilayani Mafia

Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete akimtambulisha mgombea ubunge wa Mafia kupitia CCM,Bw. Abdulkarim Shah.
Mwenyekiti wa Taasisi ya wanawake na Maendeleo (WAMA) ,Mama Salma Kikwete,akiongea na wanachama wa UWT Wilaya ya Mafia katika ziara ya siku moja kuwahamasisha wanachama wa umoja wa wanawake Tanzania kuwachagua wagombea wa CCM katika uchaguzi ujao.
Wanachama wa UWT Wilayani Mafia Mkoa wa Pwani wakimsikiliza Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) Mama Salma Kikwete hayupo pichani katika mkutano wake na wanachama hao kuhusu kuwahamasisha masuala ya Uchaguzi Mkuu ujao hapo Oktoka 31 mwaka huu.
(picha zote na Mwanakombo Jumaa-Globu ya Jamii)

0 comments:

Newer Post Older Post Home