CCM LEADERS

CCM


I made this at .

Sunday 22 August 2010

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Taifa, Rais Jakaya Kikwete akipungia maelfu ya wana CCM, muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi kampeni ya chama hicho Jangwani Jijini Dar es Salaam jana.(Picha: Selemani Mpochi).

Kikwete: Nitashinda kwa kishindo

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi, Rais Jakaya, Kikwete, jana alizindua rasmi kampeni za chama hicho kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, utakaofanyika Oktoba mwaka huu, na kujigamba kuwa ataibuka na ushindi wa kishindo kwani ametimiza ahadi nyingi alizowaahidi wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliopita Habari Kamili

0 comments:

Newer Post Older Post Home