CCM LEADERS

CCM


I made this at .

Saturday 4 September 2010

Jamhuri Stadium Yafurika - Mkutano wa Kampeni Morogoro Mjini

Pikipiki ikiongoza kumsindikiza Mgombea wa CCM Mheshimiwa Kikwete wakati msafara wake ukiingia Morogoro mjini.
Mgombea Urais wa CCM Mheshimiwa Kikwete akimnadi mgombea Ubunge wa CCM Morogoro mjini Aboud kwenye uwanja wa Jamhuri leo.

Mheshimiwa Kikwete akihutubia umati wa watu uliofika Jamhuri Stadium jioni ya leo kuhudhuria Mkutano wa kampeni.




0 comments:

Newer Post Older Post Home