CCM LEADERS

CCM


I made this at .

Tuesday 7 September 2010

Twanga Wapepeta Na Amos Makalla Mvomero
JK akimnadi mgombea ubunge wa CCM jimbo la Mvomero, Morogoro, Mh. Amos Makalla katika uwanja wa michezo wa Mvomero Jumapili
JK akiongea na wananchi kibao waliokuwa wametanda njia nzima wakati akielekea Mvomero.

Wadau wa Mtibwa Sugar wakiwa katika mkutano wa kampeni wa JK Mvomero
Wadau wa CCM toka Dar walikuwepo kumpa tafu Amos Makalla
Twanga wakipepeta Mvomero Jumapili
wadau wa Twanga Pepeta wakisikiliza hotuba ya JK mvomero
Toka shoto ni Rogert Hegga 'Katapila', Hamisi Amigoras na Lwiza Mbuttu
Ben Kinyaiya (shoto) akiwa na wana Twanga Pepeta
Abuu Semhando 'Baba Diana' akiwa na Omari Baraka Mvomero

0 comments:

Newer Post Older Post Home