Inshaallah Darsa ya Mwezi wa Ramadhani kila Jumamosi na Jumapili itaendelea mwaka huu hapa katika jiji la Leicester, UK.
SIKU: Jumamosi na Jumapili
SAA: Kuanzia Saa Moja kamili jioni mpaka Magharibi
UKUMBI: Hashi Centre, 60-66 NEDHAM STREET, Leicester, LE2 0HA
MIHADHARA
Pia katika mfululizo huu huu,
JUMAMOSI 28-08-2010
JUMAMOSI 04-09-2010
Nyakati za kuanza mihadhara pamoja
Wa Billahi Tawfeeq
ASSALAAMU ALAYKUM
Utaratibu ni huu ufuatao
Inshaallah kutakuwa na
MHADHARA katika siku hizi zifuatazo:
na majina ya wahadhiri yatatolewa baadae Inshaallah
Tujitahidi Waislamu wa Leicester na
vitongoji vinavyoizunguka kuhudhuria
katika mikusanyiko hii ya kheri
Post a Comment