CCM LEADERS

CCM


I made this at .

Friday 27 August 2010

JK Na Watoto

Mwanafunzi Joel Abdallah anayesoma darasa la tatu katika shule ya msingi Rutozo iliyoko katika kijiji cha Katoro wilayani na mkoani Geita, akimsalimiana na Rais Kikwete wakati akiwa katika kampeni za kuwania urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) hivi karibuni.

0 comments:

Newer Post Older Post Home