CCM LEADERS

CCM


I made this at .

Friday 27 August 2010

JK ndani ya kijiji cha Rusahunga

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dr.Jakaya Mrisho Kikwete akimsalimia na kumsikiliza msichana mlemavu Joyceline Paulo huko Rusahunga wakati mgombea huyo aliposimama kuwasalimia wananchi na kunadi ilani ya CCM.Dr.Kikwete aliahidi kumpatia mlemavu huyo baiskeli maalumu ya matairi matatu ili aweze kumudu shughuli zake kwa urahisi zaidi.Dr. alikuwa njiani akitokea Ngara mkoani Kagera kuelekea Wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa barabara
Dr.Kikwete akiwahutubia wananchi wa kijijini Rusahunga wakati aliposimama kuwasalimia na kunadi ilani ya CCM wakati alikuwa njiani akitokea Ngara mkoani Kagera kuelekea Wilayani Kibondo mkoani Kigoma kwa barabara.
(Picha na Freddy Maro)

0 comments:

Newer Post Older Post Home